achoma picha ya rais

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Aliyehukumiwa kwenda jela miaka 2 kwa kuchoma picha ya Rais amechukuliwa na watu wasiyojulika, mpaka sasa hajulikani alipo

    Taarifa kutoka Mbeya ni kuwa kijana Chaula aliyefungwa miaka miwili jela kwa kosa la kuchoma picha ya Rais Samia, na baadaye kuachiwa baada ya kuhangiwa na wananchi amechukuliwa na watu wasiyojulikana toka jana Agosti 1, 2024. Pia soma: Shadrack Chaula, aliyechoma picha ya Rais Samia aachiwa...
Back
Top Bottom