achraf hakimi

Achraf Hakimi Mouh (Arabic: أشرف حكيمي موح; born 4 November 1998) is a professional footballer who plays for Ligue 1 club Paris Saint-Germain and the Morocco national team. He mainly plays as a right-back, but can play be deployed in the left-back and winger positions. He is widely regarded as one of the best defenders in the world.Hakimi came through Real Madrid's youth academy. He began playing for Real Madrid Castilla in 2016 and was promoted to the first-team in 2017. He was sent on a two-year loan deal to Bundesliga side Borussia Dortmund, winning the DFL-Supercup in 2019. He then signed with Serie A side Inter Milan for a reported fee of €40 million, helping the club win the 2020–21 Serie A title, their first in 11 years. Paris Saint-Germain then signed him in 2021 for a reported fee of €60 million.
Born in Spain to parents from Morocco, Hakimi was capped by Morocco at under-20 level, before making his senior international debut in 2016 aged 17. He was chosen in Morocco's squads for the FIFA World Cup in 2018 and 2022, and the Africa Cup of Nations in 2019 and 2021.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Archraf Hakimi: Hii ndo sababu ya mimi kuhamishia mali zangu kwa mama yangu mzazi nilipoona dalili za kutopendwa na mke wangu wa zamani

    Mchezaji wa timu ya Morocco pamoja na PSG Hakimu aelezea sababu zilizo mpelekea kubadilisha jina lake kwenye urithi wa mali zake zote kwa mama yake mzazi na kusema Nilifunga ndoa na mke wangu wa zamani, Hiba Abouk kuanzia 2020 hadi 2023 Lakini niligundua kuwa alikuwa akitafuta pesa zangu miezi...
  2. GENTAMYCINE

    Wana Yanga SC Wenzangu hapa JamiiForums huyu Achraf Hakimi tuliyemsajili anachukua nafasi ya nani? Tuna Hela ya Kumlipa wakati Madeni yanatuumbua?

    GENTAMYCINE nikiwa kama mwana Yanga SC Tukuka nimefurahi mno Yanga SC kumsajili huyu Mchezaji na hakika Yanga SC yetu kwa Msimu ujao si tu kwamba inaenda Kubeba tena Kombe la NBC Premier League bali pia inaenda kuwa Bingwa wa CAFCL na tukienda katika Mashindano ya Vilabu duniani Yanga SC tena...
  3. Mchagah

    Kama unamuona Hakimi ni hatari, Basi wacha nikujuze kuhusu huyu mwamba

    Dunia haitomsahau Gabriel Villa, mwanasheria kwa taaluma aliyefanya pia kazi ya uwakala wa usafirishaji. Bwana huyu mwaka 1994 alikutana na mwanadada mrembo Christina Carta kwenye sherehe Wawili hawa wakapendana na hatimaye kufunga ndoa licha ya kuwa Gabriel alimzidi mrembo huyo miaka 30...
  4. B

    Somo la mali kwa wanandoa kwa kilichotokea kwa Achraf Hakimi na mkewe

    SOMO LA MALI KWA WANANDOA KWA KILICHOTOKEA KWA ACHRAF HAKIMI NA MKEWE. Bashir Yakub, WAKILI. +255714047241. Mke wa ACHRAF HAKIMI ameshindwa kupewa mali yoyote baada ya ndoa yao kuvunjika kwasababu Hakimi aliziandika mali zote jina la mama yake mzazi. Je jambo hili linawezekana kwa Sheria za...
  5. Suley2019

    Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali

    Mke wa Ashraf Hakimi amempeleka mahakamani ili kupata talaka na alitaka Mahakama iwagawanyishe mali. Baada ya Talaka kufanikiwa na kukubaliana kugawana mali, ikagundulika kuwa Ashraf Hakimi hakuwa na mali yoyote na hata akaunti zake benki hazikuwa na pesa yoyote. Inaelezwa kuwa mahakama...
Back
Top Bottom