Achraf Hakimi Mouh (Arabic: أشرف حكيمي موح; born 4 November 1998) is a professional footballer who plays for Ligue 1 club Paris Saint-Germain and the Morocco national team. He mainly plays as a right-back, but can play be deployed in the left-back and winger positions. He is widely regarded as one of the best defenders in the world.Hakimi came through Real Madrid's youth academy. He began playing for Real Madrid Castilla in 2016 and was promoted to the first-team in 2017. He was sent on a two-year loan deal to Bundesliga side Borussia Dortmund, winning the DFL-Supercup in 2019. He then signed with Serie A side Inter Milan for a reported fee of €40 million, helping the club win the 2020–21 Serie A title, their first in 11 years. Paris Saint-Germain then signed him in 2021 for a reported fee of €60 million.
Born in Spain to parents from Morocco, Hakimi was capped by Morocco at under-20 level, before making his senior international debut in 2016 aged 17. He was chosen in Morocco's squads for the FIFA World Cup in 2018 and 2022, and the Africa Cup of Nations in 2019 and 2021.
Mchezaji wa timu ya Morocco pamoja na PSG Hakimu aelezea sababu zilizo mpelekea kubadilisha jina lake kwenye urithi wa mali zake zote kwa mama yake mzazi na kusema Nilifunga ndoa na mke wangu wa zamani, Hiba Abouk kuanzia 2020 hadi 2023
Lakini niligundua kuwa alikuwa akitafuta pesa zangu miezi...
GENTAMYCINE nikiwa kama mwana Yanga SC Tukuka nimefurahi mno Yanga SC kumsajili huyu Mchezaji na hakika Yanga SC yetu kwa Msimu ujao si tu kwamba inaenda Kubeba tena Kombe la NBC Premier League bali pia inaenda kuwa Bingwa wa CAFCL na tukienda katika Mashindano ya Vilabu duniani Yanga SC tena...
Dunia haitomsahau Gabriel Villa, mwanasheria kwa taaluma aliyefanya pia kazi ya uwakala wa usafirishaji.
Bwana huyu mwaka 1994 alikutana na mwanadada mrembo Christina Carta kwenye sherehe
Wawili hawa wakapendana na hatimaye kufunga ndoa licha ya kuwa Gabriel alimzidi mrembo huyo miaka 30...
SOMO LA MALI KWA WANANDOA KWA KILICHOTOKEA KWA ACHRAF HAKIMI NA MKEWE.
Bashir Yakub, WAKILI.
+255714047241.
Mke wa ACHRAF HAKIMI ameshindwa kupewa mali yoyote baada ya ndoa yao kuvunjika kwasababu Hakimi aliziandika mali zote jina la mama yake mzazi.
Je jambo hili linawezekana kwa Sheria za...
Mke wa Ashraf Hakimi amempeleka mahakamani ili kupata talaka na alitaka Mahakama iwagawanyishe mali.
Baada ya Talaka kufanikiwa na kukubaliana kugawana mali, ikagundulika kuwa Ashraf Hakimi hakuwa na mali yoyote na hata akaunti zake benki hazikuwa na pesa yoyote.
Inaelezwa kuwa mahakama...
achrafhakimi
duniani
hiba abouk
hii
internet
jifunzeni
kavunja
kisa
kisheria
kitu
kudai
kukwepa
maana
mali
mama yake
mchezaji
mchumba
mke
mke wake
mtu
ndoa
paris saint-german
siku
single
talaka
tuna
utajiri
wake
wake zenu
wanawake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.