Habari naomba kusaidiwa dawa ya kupona bile acid reflux, nilienda hospital baada ya kuwa nasumbuliwa sana na tumbo kuwaka moto kama naungua tumboni baada ya kipimo cha endoscopy shida ilionekana mlango wa chini wa tumbo upo wazi nyakati zote( sphincter pyloric) kwahiyo unaruhusu alkaline kutoka...
Pia naomba kuuliza.
Parachichi
Apple
Ndizi mbivu
Wali
Ugali
Nyama
Maziwa mtindi
Maziwa fresh(boxed like asas and first choice)
Wine.
Mayai ya kukaanga au kuchemsha
Vitu gani Kati ya hivi sipaswi kutumia kabisa?
Maana nasumbuliwa na acid reflux na tumba kujaa ges.
MWENYE UFAHAMU NAOMBA ANIJUZE...
Naomba msaada wanajf wenzangu,
Nina tatizo la tumbo kujaa gesi pamoja na kuunguruma, maumivu ya tumbo kuzunguka kiuno, shingo kuuma na hata maumivu ya mgongo, kuna nyakati hata kichwa huwa kinaniuma.
Juzi nilipopima afya nikaambiwa tumbo linatoa tindikali nying au kitalaam acid reflux...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.