Kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe imeweka wazi jinsi ndani ya Polisi kulivyo na magenge ya uharamia, ambayo kazi yale ni kuteka, kutesa na kubambikia watu kesi.
Hata kabla ya kukamilika kwa kesi hii, na hukumu kutolewa, kuna mambo kadhaa yaliyo dhahiri:
1) Ndani ya jeshi la polisi, kama ilivyokuwa...