Na Mwandishi wetu
WAKAZI wa Mchinga mkoani Lindi wamewaonya viongozi wa ACT Wazalendo,iwapo watamchagua Hamidu Bobali kuwa mgombea Ubunge 2025, katika jimbo hilo, kuwa wataelekeza nguvu kwa wagombea wa vyama vingine kuhakikisha Bobali hapati nafasi ya kuwa mwakilishi wao.
Wakizungumza na...