Imepita zaidi ya miaka 6000 mpaka 6700 Baba WA wanadamu Nabii Adam na Mama wa Wanadamu Hawa kushushwa kwenye ulimwengu huu wa Dunia.
Hatimaye utafiti uliofanywa hivi majuzi wa kisayansi umetoa ushahidi wa kutosha kwamba wanadamu wote waliopo Ulimwenguni wana ukoo mmoja, ambapo inaonyesha...
Habari zenu wakuu,
Katika uzi huu, nitaleta maandiko ya kitabu cha Adam na Hawa (The book of Adam and Eve) cha kwanza na cha pili ambacho kwa sababu wanazozifahamu wahusika wamekiondoa kwenye vitabu vya Biblia.
Kitabu hiki nitakituma humu kwa Kiswahili kupitia Google translate kwa hiyo baadhi...
Wakuu hii ni kwa mujibu wa nguli wa mambo ya imani mzee wa upako.
Anasema huyo mama yetu aliumbwa sambamba na Adamu
Jina lake aliitwa Lilith
Baadaye alizinguana na Adamu akasepa zake kwenda kuanzisha life yake solo nje ya bustani ya Eden.
Ndio ikabidi aumbwe Hawa kutoka ubavu wa Adamu
Sasa...
Hakuna namna ya kuniambia kuwa Adam na hawa hawakuwa watanzania.
Picha linaanza, huko bonde la olvai (umasaini) ambapo Dr. Leakey aligundua fuvu la kichwa cha binadamu wa kale zaidi (Kama sio la Adam basi la hawa).
Na tunafundishwa mashuleni kuwa habari kuhusu fuvu hilo ni za kweli. Hivyo basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.