adani group

Adani Group is an Indian multinational conglomerate, headquartered in Ahmedabad. Founded by Gautam Adani in 1988 as a commodity trading business, the Group's businesses include sea and airport management, electricity generation and transmission, mining, natural gas, food, weapons, and infrastructure. More than 60% of its revenue is derived from coal-related businesses.
Noted for its close association with the ruling Bharatiya Janata Party, Adani was the largest Indian conglomerate as of 2022 with a US$206 billion market capitalization, surpassing Tata Group. It lost more than $104 billion in value after fraud and market manipulation allegations by short-seller firm Hindenburg Research. In May 2024, the Adani Group's market capitalization returned to over $200 billion after the Supreme Court directed the Securities and Exchange Board of India (SEBI) to expedite its investigation.
The Adani Group has also attracted other controversies due to reports suggesting stock manipulation, accounting irregularities, exporting military drones to Israel for its war in Gaza, political corruption, cronyism, tax evasion, environmental damage, and suing journalists.

View More On Wikipedia.org
  1. Mtoa Taarifa

    Tanzania kuendelea na Mkataba wa Adani wa Dola Milioni 95 kuendesha Gati za Bandari ya Dar Licha ya Tuhuma za Rushwa

    Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuheshimu mikataba yake na kampuni tanzu ya Adani Group licha ya mashtaka mapya dhidi ya Gautam Adani, mwenyekiti bilionea wa kundi hilo, anayekabiliwa na tuhuma za utoaji hongo na udanganyifu, afisa mwandamizi wa Mamlaka ya Bandari amethibitisha. Wiki...
  2. Stuxnet

    Tuhuma za rushwa: Total Energies yasimamisha uwekezaji ndani ya Adani Group

    Bilionea namba 2 India na namba 22 duniani Gautam Adani amepata pigo jingine baada ya kampuni ya Total Energies kusimamisha uwekezaji ndani ya kampuni zake. Hii ni kutokana na tuhuma za utoaji rushwa anazokabiliwa nazo kutoka Serikali ya Marekani. Je Tanzania ni sikio la kufa?? ==========...
  3. Mtoa Taarifa

    Mahakama ya Juu yasitisha utekelezaji wa Mkataba wa Usambazaji Umeme kati ya Serikali ya Kenya na kampuni ya Adani Group

    Jaji Bahati Mwamuye alitoa maagizo ya kihafidhina, kusitisha utekelezaji wa makubaliano hayo huku akitaja kuwa mkataba huo umeibua wasiwasi juu ya usiri, ushiriki wa umma, na kufuata katiba Kampuni ya Usambazaji Umeme ya Kenya (KETRACO) ilitia saini mkataba wa Ksh 95.68 bilioni na Adani Energy...
  4. Mtoa Taarifa

    Je Wajua? kampuni za Adani Group zimewahi kuripotiwa kufanya Ulaghai na kushushwa thamani ya Utajiri wake kwa Dola Trilioni 27.9

    Januari 2023 Mfanyabiashara Gautam Adani ambaye ni mmiliki wa Kampuni za ADAN GROUP alijikuta akiondolewa katika orodha ya Matajiri wakubwa duniani baada ya thamani ya utajiri wake kushuka kwa zaidi ya Tsh. Trilioni 60 kutokana na kudaiwa kufanya Udanganyifu kwenye masuala ya Hisa na Masuala ya...
  5. TODAYS

    CCM na Serikali Watanzania Wamewakosea Nini Hadi Kuamua Haya?.

    Ulimnofu. Asalaam alykhum. Bwana Yesu asifiwe. Kule DRC poleni kwa kuwakosa ndg waliofariki maji ziwa Kivu. Nisipoteze muda. Adani Group inaonekana ni kampuni imeundwa maalum si kutoa huduma ipasavyo nje ya nchi zawa kwao huko India. Nje ya India kampuni hilo halina tija na ufanisi kwenye...
Back
Top Bottom