Adani Ports and Special Economic Zone Limited (APSEZ) is an Indian multinational port operator and logistics company, part of Adani Group. APSEZ is India's largest private port operator with a network of 12 ports and terminals, including India's first port-based SEZ at Mundra and the first deep water transshipment port at Thiruvananthapuram. The company has attracted controversies for cronyism, alleged stock manipulation and violation of environmental norms.
Kama Kafulila na PPP yake hana shaka na Adani kama tulivyosoma mitandaoni basi ajue wananchi wengi taarifa za kushitakiwa hao watu kwa kupewa kandarasi marekani kwa kutoa rushwa zinathibitisha yale wamekua na mashaka nayo. Kwamba nchi wala haihitaji huduma kama za Adani.
Ni huduma za kudumaza...
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuheshimu mikataba yake na kampuni tanzu ya Adani Group licha ya mashtaka mapya dhidi ya Gautam Adani, mwenyekiti bilionea wa kundi hilo, anayekabiliwa na tuhuma za utoaji hongo na udanganyifu, afisa mwandamizi wa Mamlaka ya Bandari amethibitisha.
Wiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.