adani tanzania

Adani Ports and Special Economic Zone Limited (APSEZ) is an Indian multinational port operator and logistics company, part of Adani Group. APSEZ is India's largest private port operator with a network of 12 ports and terminals, including India's first port-based SEZ at Mundra and the first deep water transshipment port at Thiruvananthapuram. The company has attracted controversies for cronyism, alleged stock manipulation and violation of environmental norms.

View More On Wikipedia.org
  1. kmbwembwe

    Kafulila asijifanye hajasikia ufisadi wa Adani, eti hana shaka nao

    Kama Kafulila na PPP yake hana shaka na Adani kama tulivyosoma mitandaoni basi ajue wananchi wengi taarifa za kushitakiwa hao watu kwa kupewa kandarasi marekani kwa kutoa rushwa zinathibitisha yale wamekua na mashaka nayo. Kwamba nchi wala haihitaji huduma kama za Adani. Ni huduma za kudumaza...
  2. Mtoa Taarifa

    Tanzania kuendelea na Mkataba wa Adani wa Dola Milioni 95 kuendesha Gati za Bandari ya Dar Licha ya Tuhuma za Rushwa

    Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuheshimu mikataba yake na kampuni tanzu ya Adani Group licha ya mashtaka mapya dhidi ya Gautam Adani, mwenyekiti bilionea wa kundi hilo, anayekabiliwa na tuhuma za utoaji hongo na udanganyifu, afisa mwandamizi wa Mamlaka ya Bandari amethibitisha. Wiki...
Back
Top Bottom