addicted

Addicted is the twelfth studio album by Canadian musician Devin Townsend, and the second album in the Devin Townsend Project series. The album was released on November 17, 2009, on Townsend's independent record label HevyDevy Records. The album was written and produced by Townsend, and features Ryan Van Poederooyen, Brian Waddell, Mark Cimino, and Anneke van Giersbergen.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Nimekuwa addicted na kitimoto, Je kuna madhara kiafya?

    Hello wadau, Currently nimekua nakula sana kitimoto yaani nakula mpaka mara 4 kwa week sometimes rost sometimes kavu. Naomben kujua kama Kuna madhara yoyote kiafya
  2. Hypersonic WMD

    Why ccm is addicted with micro projects

    Ni kwanini ccm ina uraibu wa kufanya vimirad vidogo karne hii ya 21. Vijumba vya hivi vidogo ni vya miaka ya 60. Ukimtoa magufuli , ccm bado wanaishi mwaka 1960. Nawaza msinijie juu!!Nikiangalia dunia ilipo na miradi yetu haviendani
  3. monta

    Ni kitu gani ambacho kilikufanya uwe addicted nacho?

    Wakuu ni kitu gani ambacho ulikianza kama utani lakini leo hii imegeuka kuwa uraibu kwako yani huwezi kukaa bila kufanya hicho kitu. Kwangu mimi ni kucheza games(play station). Nakumbuka kipindi naanza form 1 miaka ya 2008 huko kanda ya ziwa ilikua tukienda town weekend tunakutana na video...
  4. Makonde plateu

    Nimekuwa addicted na Cristiano Ronaldo, yaani chochote anachotangaza nitajitahidi kukipata

    Wakuu kiukweli nipo addicted na Cristiano Ronaldo yaani wakuu chochote ambacho Ronaldo anakitangaza nipo tayari kukinunua kwa gharama yoyote ata akitangaza chupi au kondomu nipi tayari kununua aisee nakumbuka nilinunuaga kondomu kwa sababu niliona anaitangaza sijui ndiyo ugonjwa wa akili that...
  5. EmmilyPM

    Nahisi nimekua addicted na huu mchezo wakuu

    Habari za majukumu wakuu, mimi ni kijana wa miaka 29. Nina shida moja ambayo nahisi imekuwa kama "addiction." Nimejipata nikiwa na tabia ya kufuatilia (track) simu za kila mpenzi ninayeingia naye kwenye mahusiano, iwe nina mipango ya baadaye naye au hata kama ni uhusiano wa muda mfupi. Ilimradi...
  6. ngara23

    Niko addicted na JamiiForums

    Aisee humu JF Kuna nini. Me ndo natumia muda wote Sina hiyo Facebook, Instagram, x n.k. Muda mwingi Niko hapa kusogoa, kutaniana, kujifunza, kushare mengi Naipenda JamiiForums mno
  7. sniper ammo

    Kazi au Rehabilitation

    Mtu haouko addicted na pombe kazi yako iko vizuri na hakuna lawama Wala malalamiko yoyote kwa unaowahudumia lakini BOSS WAKO anakuambia chagua moja moja kazi au uende rehab? Nlikua Naomba kufahamu mwajiri akitaka kumpeleka mfanyakazi wake rehab anatakiwa kufuata utaratibu gani?
  8. M

    People who are addicted to their phones struggle with these 12 things in relationships

    We all love our phones, don’t we? But for some of us, it’s more than just love. It’s an addiction. And like any addiction, it begins to seep into other areas of our lives. In this case, our relationships. Being addicted to your phone can wreak havoc on your personal life, and trust me, it’s...
  9. hermanthegreat

    I think I'm addicted to Internet usage

    Hello jf members. I spend about 97% percent in internet and when I'm offline I feel like I'm sick , I entirely live in an imagination world rather than in the reality. I consume a lot of money for buying data . I think I can't control myself from this situation, I need someone to help me.
  10. Pang Fung Mi

    Nimekuwa addicted na tabia ya kupora wapenzi wa watu sehemu za starehe

    Wasalaam, Nimepata mfadhaiko siku za hivi karibuni, mademu za watu wanapigana na kuwaacha wapenzi wao kisa Mimi, na pisi Kali kiasi kwamba ni ngumu kukataa, wanalipa mpaka bill zilizogharimiwa na hao wapenzi wao ili kuondoa utumwa. Huwa natoa maagizo tu kuwa ukishavuruga utanikuta sehemu...
  11. Raymanu KE

    Mwanaume kamili hakikisha unakuwa addicted na mojawapo wa vitu vifuatavyo!

    Addiction Ni kitu ambacho kamwe hakiwezi epukika katika Karne hii ya 21.In one way or the lazima kila mwanadamu especially wanaume atakuwa addicted na mojawapo ya vitu vifuatavyo; 1.Betting & gambling 2.Keyboard warrior( internet) 3.Masterbation( punyeto & kujichua) 4.Sigara/ bangi/shisha...
  12. Protector

    Serikali kupunguza kodi kwenye betting haioni inaendelea kuharibu vijana ambao wapo addicted na kubet

    Leo waziri wa fedha amependekeza kupunguza kodi kwenye pesa anayoshinda mtu aliyebeti kutoka 15% mpaka 10%. Kwangu naona hii ni kama kuendelea kuharibu vijana maana watahamasika kutokana na kuona wakishinda watakatwa pesa kidogo. Bora ingeongezwa ili iwavunje moyo watu wanaobet labda...
  13. M

    Yupo soo addicted na miguno ya kimahaba

    Kweli hapa duniani kuna maajabu sana wadau Hivi kweli inawezekana kabisa mtu akawa anapenda kusikia zile sauti za watu wakiwa wanafanya mapenzi? Yaani jamaa yeye ndio starehe yake, akisikia sauti za mwanamke anapelekewa moto eti yeye ndo anaenjoy kweli?? Tena anasema kabisa zile kelele...
  14. Binadamu Mtakatifu

    Wenye uraibu "addiction" ya Soda, unawezaje au uliwezaje kukabiliana na hali hii?

    Duuh yani baadhi ya vitu ni ngumu kuamini kuwa kuviacha ni janga la koo na ulimi soda ni moja ya vinywaji pendwa kwa watu ila baadhi ya watu wanashindwa kujitambua kuwa imeadhiri mfumo wao wa akili Binafsi naona hii kwangu ikitokea nimekua Addicted na kitu cha COCACOLA yani ukinipa hii soda...
  15. Liverpool VPN

    I am addicted to Single Mothers

    1. Huyu nilimpa 2018. Nilimpata akiwa ananyonyesha. Alinipa sababu ya yeye kuachana na baba mtoto ni kwasababu alimuacha tu akaenda kuoa kwengine ila alinishangaza, maana nilimkuta na mtoto wa kunyonyesha. Nilijiuliza, Sasa aliachwa lini na baba mtoto akaoa lini, HAYANIHUSU MI NACHOHITAJI NI...
  16. Evelyn Salt

    I am addicted to sex

    Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijui, zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona...
Back
Top Bottom