Ifike mahali huu utaratibu wa kuadhibu watoto shuleni kwa viboko vikali upigwe marufuku maana hauna maana yoyote ile.
Viboko havisaidii lolote ni ujinga tu kuendeleza huu upuuzi.
Tuna elimu mbovu sana hatuwazidi chochote hao wenye nchi wasio chapa chapa hovyo watoto shuleni iwe...
Nimekuwa nikiitafakari sana hii adhabu ya viboko mashuleni kila ninapoona taarifa ya mwanafunzi kuumizwa na mwalimu kichukuliwa hatua kwa kumuumiza mwanafunzi
Ni wazi kwamba kuna wagonjwa wengi wanakufa hospitali kwa uzembe wa madaktari, kuna abiri wengi wanakufa kwa ajiri kwa uzembe wa...
Wakuu habari,
Em fikiria mko katika shule fulani ivi mkiwa mnajiandaa na mtihani kama testi kesho asubuhi saa 12 asubuhi, wewe na rafiki zako wa wili jumla mko watatu usiku mkapanga kutoroka kwenda disco ila mkakubaliana kuwa alfajiri mapema mtawahi kurudi.
Kweli usiku ukafika mkaruka ukuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.