Mtandao wa Elimu Tanzania (TENMENT) pamoja na Kituo cha Sheria na haki za binadamu LHRC wameendelea kuisisitiza Serikali kuhusiana na kufutwa kwa adhabu ya viboko shuleni badala yake kubuniwe kwa adhabu ngingine zenye kuongeza stadi za maisha kwa mwanafunzi.
Soma: Simiyu: Mwanafunzi adaiwa...
Mtandao wa Elimu Tanzania (TENMENT) pamoja na Kituo cha Sheria na haki za binadamu LHRC wameendelea kuisisitiza Serikali kuhusiana na kufutwa kwa adhabu ya viboko shuleni badala yake kubuniwe kwa adhabu ngingine zenye kuongeza stadi za maisha kwa mwanafunzi.
Soma: Simiyu: Mwanafunzi adaiwa...
Wananchi wa kijiji cha Ibindi, Manispaa ya Mpanda, mkoani Katavi, wamependekeza adhabu ya viboko kwa wanawake wanaovaa nguo zinazodhaniwa kuwa hazina stara, wakiunga mkono juhudi za kudumisha maadili katika jamii.
Pendekezo hili lilitolewa wakati wa mkutano wa hadhara uliofanywa na Mkuu wa...
Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye Sheria inayoruhusu Adhabu ya Viboko kwa Wanafunzi Shuleni licha ya adhabu hiyo kutajwa na kupigwa marufuku kwenye takriban Mataifa 51 ikielezwa kuwa ni ya Kikatili na inayoumiza badala ya kufundisha
Ili kufahamu zaidi, Shirika la Save the Children na WILDAF...
(Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Brigedia Jenerali Nicodemus Mwangela Mapema akiwachapa viboko wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Oswe)
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu imeiamuru Tanzania kuondoa adhabu ya viboko kwenye sheria zake ili ziendane na Mkataba ulioanzisha mahakama...
Kuna ndugu yangu ni kitengo huko serikali tena idara ya elimu na ndo kashikilia bango swala la viboko.
Wakati yeye mtoto wake anayesoma shule kapuni hapa dar juzi mwanae kunusurika kufukuzwa bada ya utovu wa nidhani.
Kimbembe sasa huyu ndgu yangu kidgo amuue mwanae kwa bakola zisizo na idadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.