adhabu za walimu kwa wanafunzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    KERO Shule ya Msingi Mazengo Makang'wa (Dodoma) Wanafunzi wanafukuzwa na kulimishwa mashamba ya Walimu kwa kutolipa hela ya taaluma

    Licha taarifa ya baadhi ya viongozi wa Serikali ngazi za juu kusisitiza Wanafunzi wa Shule za Serikali wasirejeshwe nyumbani kutokana na kukosa kuchangia michango, hali ni tofauti kwenye ya Shule Msingi Mazengo Makang'wa iliyopo Kata ya Makang'wa Wilayani Chamwino Mkoa wa Dodoma. Wanafunzi...
  2. dafity

    Mwalimu adaiwa kumpiga ngumi mwanafunzi na kumng'oa jino, eti Kisha kapata alama 29 za Hisabati

    Mwalimu wa Secondary ya BUNDIKANI iliyopo Kibaha Maili Moja Jana Alhamisi July 25, 2024 amempiga ngumi na kumtoa jino bila ganzi mwanafunzi wa kidato cha 3A. Wanafunzi wote waliopata chini ya alama 30 za somo analofundisha la Hisabati alipanga kuwachapa, mwanafunzi hakikataa kuchapwa na...
Back
Top Bottom