adolf hitler

  1. Mhaya

    Netanyahu awashutumu Waislamu kwa kumshawishi Adolf Hitler awaue Wayahudi

    Katika video inayosambaa mtandaoni inamuonesha waziri mkuu wa Israel, Netanyahu akiwashutumu waislamu kwa kumshawishi Adolf Hitler kuwauwa na kutaka kutokomeza taifa hilo. Adolf Hitler aliacha historia isiyosahaulika kwa waisraeli kutokana na mauaji aliyoyafanya dhidi wayahudi, ambayo yalipewa...
  2. Mhaya

    Historia kamili ya Israel-Palestine war toka enzi za Ibrahim mpaka sasa

    Kwamjibu wa taarifa za ujasusi wa Kidola na Kiuchumi, Madai ya Waisraeli yanaanzia katika misingi ya kidini ambapo katika Biblia (kitabu kitakatifu kwa Wakristo na Wayahudi), kitabu cha kwanza cha nabii Musa kiitwacho Mwanzo sura ya 12 inaonesha jinsi Ibrahim anavyoitwa na mwenyezi Mungu ili...
  3. M

    Nimemkumbuka mwamba Adolf hitler

    Kunasimulizi nyingi kuhusu huyu mwamba ambazo hazijawahi andikwa. Katika simulizi nilihadithiwa na bibi warafiki yangu mwaka juzi tu ikanishangaza kumbe mwamba kweli alikuwa ananguvu za kishetani bibi huyo anasema kipindi,alipo kuwa binti ndo wakati huo Hitler anapambana na ungereza kwenye...
  4. Codeboy Breezy

    Historia ya Adolf Hitler, tangu kuzaliwa kwake mpaka kifo chake

    Adolf Hitler (Braunau, Austria, 20 Aprili 1889; Berlin, Ujerumani, 30 Aprili 1945) alikuwa dikteta wa Ujerumani kuanzia mwaka 1933 hadi kifo chake. Adolf Hitler akiwa mtoto mchanga Alizaliwa nchini Austria mwaka 1889, akaingia shule ya sekondari mwaka 1900 lakini hakufaulu, hivyo alishindwa...
  5. Sky Eclat

    Adolf Hitler and the Origins of the Berlin-Tokyo Axis

    Top Image: Adolf Hitler (fourth from right) at his trial in Munich following the Beer Hall Putsch, 1924. Image courtesy of Bundesarchiv Bild, 102-00344. Historians should not fear accusations of exaggeration when designating December 1941 as not only one of the most decisive months of World War...
  6. hermanthegreat

    Kwanini dunia inamchukulia Adolf Hitler kama kiongozi katili katika historia ya Dunia?

    Dunia imekuwa ikitawaliwa na viongozi wengi walio makatili na wanyama sana mfano.ukiachana na Hitler(1889-1945) kuna 1. Joseph Stalin(1878-1953) 2. Pol Pot (1925-1998) 3. Saddam Hussein (1937-2006) 4. Iddi Amin (1952-2003) Nachohitaji kufahamu zaidi kutoka kwenu ni kwanini Hitler anatajwa zaidi...
Back
Top Bottom