Wakati unaingia ulidhani sukuma gang ndio adui yako ukawafyeka sukuma gang wote.
Ukaja kugundua bila kanda ya ziwa huwrzi kufika kokote ukaanza kuneutralize kwa kuwapromote makonda,Biteko na Bashungwa huku ukiwakumbatiavijana Team Msoga,
Sasa uliowaamini unawaona hawafai uliowaona hawafai...