Advance Publications, Inc., doing business as Advance, is an American media company owned by the descendants of S.I. Newhouse Sr., Donald Newhouse and S.I. Newhouse Jr. It owns a large number of subsidiary companies, including Condé Nast, and is a major shareholder in Reddit.
Habari zenu wapendwa mimi nimemaliza form four mwaka wa jana matokeo yametoka mwaka huu sasa nilikuwa na omba kuuliza kwa matokeo haya naweza kuchaguliwa kidato cha tano katika shule za serikali na kama ndio kwa combination gani ? matokeo yenyewe ni MATHEMATICS (C) , CHEMISTRY (C) , BIOLOGY (C)...
Mungu AWABARIKI SANA SANA wote mlio hai
MUNGU axidi kuwainua na kuwapa furaha maishani mwenu
Wale members waliotangulia MBELE za Mungu
MUNGU akawape pumziko la milele
Mkawe na amani na furaha 2025
Happynewyr n advance
Rgds
Pdidy
Habari wakuu,
Baada ya miaka kadhaa tangia nimehitimu shahada yangu ya kwanza ya maswala ya uchumi na fedha nilikua naomba anayefahamu sehemu yoyote Kwa hapa Dar ambapo naweza kwenda kusomea
Advance Excel
Quick books
Tally Kwa Bei nafuu anaelekeze.
Napata alarm hapa kuwa kuna vijana radical wanazalishwa mashuleni hasa advance.
Hawa vijana wanazalishana wenyewe kwa wenyewe kwa hisani ya watu wazima ambao wako nje ya mfumo.
Usipoziba ufa utajenga kuta.
Miaka 30 iliyopita Nigeria ilikuwa shwari kabisa lakini sasa serikali ya Nigeria...
toka asubuhi ukiifungua inakuwa blank as if hamna tena? tumesha update taarifa ila ukibonyeza mshiko fasta inakaambia nenda uka update namba yako ya simu sa nashangaa tume update mpaka maa alama ya vidole vitano na mpaka hali ya ndoa mbona haiji update? na salary avans mnakata ngap?
It is a pity kuwa wazee hawa walikuwa na mahali pa kupata advance ya pensheni yao sasa mmeiondoa na kubakia salary advance. Kwanini salary advance imebaki na kuondoa pensheni advance? kwanini mmeiondoa tena bila taarifa.
Watatafuta benki ambayo itawarudisha kwenye service hiyo.
Kuna dogo niliona nimsaidie kiutani nikamfanyia application za diploma.
Sasa alichaguliwa HGK shule moja moshi ila kule kwenye chuo pia amepata diploma civil engineering.
Hapa anatakiwa afanye maamuzi yatakayoadhiri maisha yake yote..
Juzi anasema computer science Mimi naona akachemshe kichwa...
Habari ndg zangu, kuna kijana mmoja alikuwa anaishi na mama yake Jijini Dar salaam,baba yake alifariki muda mrefu,mwaka jana kabla ya kufanya mitihani ya kidato cha nne mama yake nae alifariki, kijana huyo Mungu amemsaidia amefaulu na amepangiwa Temeke sekondari, kwa bahati mbaya shule ile ni ya...
Nina ndugu yangu kapata matokeo haya HIST-D GEO-C BIO-C ENGL-D CIV-C CHEM-C LITE-D KISW-C MATH-D
Amepata Division III Point 23 hajasomea PHYSICS na amepangiwa chuo cha Human Resources Management hataki kwenda Chuo Je, aende Advance kwa Combination gani?
Msaada jamani.
Habari,
Nimehitimu mwaka jana nimefaulu masomo yote na pia na division 1 lakini nilikuwa na ndoto za kusomea mambo ya technogy ikiwemo computer science
Mpaka sasa nina utata niende Advance au chuoni. Nimejaribu kuchukua ushauri wa watu mbalimbali kuna ambao wananishauri niende chuo nikasome...
Aisee kuna huyu ndugu yangu mtoto wa mjomba alimaliza form four mwaka jana sasa alipata division four.
Ila ana C mbili na D tatu, nipo naulizia kama zinaweza kumtosha kwenda form five hata ya private, nataka kujitolea niwekeze kwake hata aweze kusoma kama ataweza kwenda form five.
Kingine kama...
Timu ya Taifa ya Wanawake ya Morroco ime advance kutoka group stage ya FIFAWWC inayoendelea huko Austarlia na New Zealand na kuingia kwenye group of 16, Wapewe Maua yao.
Wakati ikitangazwa hivyo, wanahabari walidai Morroco ni Nchi ya Kwanza kutoka [Arab Nation] kufanya hivyo.
Kwa kuzingatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.