advance vs chuo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    DOKEZO Form 4 wengi wanataka kusomea diploma ila vyuo ni vichache, kuna kila dalili za rushwa kuombea watoto nafasi za udahili vyuoni

    Wazazi wamestuka, Vijana wametuka, zama zimebadilika, Kwa upepo ulivyo Advance inaenda kupoteza thamani yake, yaweza kugeuka kuwa kapu la taka kwa wanafunzi wanaokosa vyuo. watu wamepima mzani wa kwenda advance na kwenda chuoni kwa mazingira ya Tanzania ya sasa wamena kwenda advance kuna...
  2. F

    Wapi naweza kusoma Kidato cha 5 na 6 kwa mwaka mmoja

    Habari wakuu Mimi ni muajiliwa nipo mkoa wa dar es salaam naitaji kusoma advance mwaka mmoja Naomba mnisaidie kwa lolote mawazo yenu, mbinu , na wapi sehemu gani niende niweze kutimiza lengo langu hilo. Nitawashukuru sana kwa msaada wenu
  3. Mechanic 97

    Bora usome Advance kwanza ukienda Diploma utasoma muda wowote

    Wakuu Kwa jinsi nilivyokua baada ya form four na vile nilivyokua baada ya form six ni tofauti mno. Na vile nilivyowakuta diploma wakutoka form four wanavyokariri. Mimi naomba ni washauri kama unataka kufanya makubwa nenda advance ila kama unataka elimu ya tia maji Ili uajiliwe nenda tia maji.
Back
Top Bottom