advance

Advance Publications, Inc., doing business as Advance, is an American media company owned by the descendants of S.I. Newhouse Sr., Donald Newhouse and S.I. Newhouse Jr. It owns a large number of subsidiary companies, including Condé Nast, and is a major shareholder in Reddit.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Kwa matokeo haya naweza kwenda advance kwenye shule za serekali na kwa kozi gani?

    Habari zenu wapendwa mimi nimemaliza form four mwaka wa jana matokeo yametoka mwaka huu sasa nilikuwa na omba kuuliza kwa matokeo haya naweza kuchaguliwa kidato cha tano katika shule za serikali na kama ndio kwa combination gani ? matokeo yenyewe ni MATHEMATICS (C) , CHEMISTRY (C) , BIOLOGY (C)...
  2. Happynew yr. jf members n advance

    Mungu AWABARIKI SANA SANA wote mlio hai MUNGU axidi kuwainua na kuwapa furaha maishani mwenu Wale members waliotangulia MBELE za Mungu MUNGU akawape pumziko la milele Mkawe na amani na furaha 2025 Happynewyr n advance Rgds Pdidy
  3. I

    NMB rudisheni huduma ya salary advance

    NMB, wameondoa huduma ya salary advance bila taarifa yoyote kwa wateja. Tunaomba taarifa itolewe au huduma irudishwe.
  4. Wapi nitasoma "Quick Books, Tally and Advance Excel" kwa Bei nafuu?

    Habari wakuu, Baada ya miaka kadhaa tangia nimehitimu shahada yangu ya kwanza ya maswala ya uchumi na fedha nilikua naomba anayefahamu sehemu yoyote Kwa hapa Dar ambapo naweza kwenda kusomea Advance Excel Quick books Tally Kwa Bei nafuu anaelekeze.
  5. M

    Afisa mauzo husomea tahasusi gani kwa level ya advance?

    Habari Wakuu Naomba kuuliza AFISA MAUZO husomea Combination Gan Kwa level ya advance
  6. Serikali ichunguze vikundi vya dini vya wanafunzi shule za Advance

    Napata alarm hapa kuwa kuna vijana radical wanazalishwa mashuleni hasa advance. Hawa vijana wanazalishana wenyewe kwa wenyewe kwa hisani ya watu wazima ambao wako nje ya mfumo. Usipoziba ufa utajenga kuta. Miaka 30 iliyopita Nigeria ilikuwa shwari kabisa lakini sasa serikali ya Nigeria...
  7. Salary advance B shida nini?

    toka asubuhi ukiifungua inakuwa blank as if hamna tena? tumesha update taarifa ila ukibonyeza mshiko fasta inakaambia nenda uka update namba yako ya simu sa nashangaa tume update mpaka maa alama ya vidole vitano na mpaka hali ya ndoa mbona haiji update? na salary avans mnakata ngap?
  8. Second Selection Advance Level

    Naomba kuuliza ni vigezo gani vitafanya mwanafunzi achaguliwe 2ND Selection au huwa inafanyiwa Application?
  9. R

    Tanzania commercial bank rudisheni pension advance ya wastaafu

    It is a pity kuwa wazee hawa walikuwa na mahali pa kupata advance ya pensheni yao sasa mmeiondoa na kubakia salary advance. Kwanini salary advance imebaki na kuondoa pensheni advance? kwanini mmeiondoa tena bila taarifa. Watatafuta benki ambayo itawarudisha kwenye service hiyo.
  10. Nichague nini kati ya Advance HGK au Ordinary Diploma Civil Engineering?

    Kuna dogo niliona nimsaidie kiutani nikamfanyia application za diploma. Sasa alichaguliwa HGK shule moja moshi ila kule kwenye chuo pia amepata diploma civil engineering. Hapa anatakiwa afanye maamuzi yatakayoadhiri maisha yake yote.. Juzi anasema computer science Mimi naona akachemshe kichwa...
  11. C

    MSAADA: Jinsi ya kuomba kubalidilishiwa shule kidato cha tano

    Habari ndg zangu, kuna kijana mmoja alikuwa anaishi na mama yake Jijini Dar salaam,baba yake alifariki muda mrefu,mwaka jana kabla ya kufanya mitihani ya kidato cha nne mama yake nae alifariki, kijana huyo Mungu amemsaidia amefaulu na amepangiwa Temeke sekondari, kwa bahati mbaya shule ile ni ya...
  12. Kwa matokeo haya ndugu yangu asome Combination gani?

    Nina ndugu yangu kapata matokeo haya HIST-D GEO-C BIO-C ENGL-D CIV-C CHEM-C LITE-D KISW-C MATH-D Amepata Division III Point 23 hajasomea PHYSICS na amepangiwa chuo cha Human Resources Management hataki kwenda Chuo Je, aende Advance kwa Combination gani? Msaada jamani.
  13. USHAURI: Niende Advance au chuo?

    Habari, Nimehitimu mwaka jana nimefaulu masomo yote na pia na division 1 lakini nilikuwa na ndoto za kusomea mambo ya technogy ikiwemo computer science Mpaka sasa nina utata niende Advance au chuoni. Nimejaribu kuchukua ushauri wa watu mbalimbali kuna ambao wananishauri niende chuo nikasome...
  14. M

    Ipi ni Shule Bora ya girls advance mkoa wa Dodoma

    Viongozi naombeni mnisaidie kujuwa Shule ipi ya girls ni Bora kweny ufaulu ya advance combination HGE au HGL. Location Dodoma:
  15. K

    Kuna hasara gani endapo mtu atasoma form 5&6 (A level) kwa shule za private,?

    Naomba mnipe majibu jamani, Kuna hasara gani endapo mtu atasoma form 5&6 (A level) kwa shule za private,?
  16. Kwa matokeo haya anaweza kusoma Certificate in Nursing au kuchaguliwa advance?

    CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' CHEM - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'D' COMM - 'D'
  17. M

    NMB wanatoza riba kiasi gani kwenye Salary Advance?

    Wazee naomba kuuliza anayejua riba wanayotoza nmb kwenye salary advance
  18. Ndugu yangu ana C mbili na D tatu ila ana division 4 form four, ataweza kwenda advance ya hata private?

    Aisee kuna huyu ndugu yangu mtoto wa mjomba alimaliza form four mwaka jana sasa alipata division four. Ila ana C mbili na D tatu, nipo naulizia kama zinaweza kumtosha kwenda form five hata ya private, nataka kujitolea niwekeze kwake hata aweze kusoma kama ataweza kwenda form five. Kingine kama...
  19. Kati ya advance na chuo ipi njia nzuri zaidi?

    Kati ya kwenda hge hgk au kwenda chuo course ya bussness administration au human resource qu accountancy ipi ni bora zaid naombe msaada
  20. Morroco has advanced to round of 16, cha kustaajabisha, imetangazwa kuwa ni timu ya kwanza ya [Arab Nation] kufanya hivyo.

    Timu ya Taifa ya Wanawake ya Morroco ime advance kutoka group stage ya FIFAWWC inayoendelea huko Austarlia na New Zealand na kuingia kwenye group of 16, Wapewe Maua yao. Wakati ikitangazwa hivyo, wanahabari walidai Morroco ni Nchi ya Kwanza kutoka [Arab Nation] kufanya hivyo. Kwa kuzingatia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…