afande fatuma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wakili Paul Kisabo akata Rufaa Mahakama Kuu kanda ya Dodoma dhidi ya uamuzi wa kufutwa kesi ya 'Afande'

    Wakuu, Wakili Paul Emmanuel Kilasa Kisabo amekata rufaa katika Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dodoma, dhidi ya Uamuzi wa Hakimu Nyambuli Tungaraja wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma ulioifuta kesi dhidi ya Afande Fatuma. Pia soma: Kesi ya Afande sakata la binti wa Yombo yafutwa...
  2. Wakili Kibatala: Nimemwambia Hakimu akasome Sheria vizuri kabla ya kufanya maamuzi ya Shitaka la Afande Fatma

    Kesi ya kuratibu genge la ubakaji kwa kundi na ulawiti inayomkabili Fatma Kigondo maarufu Kama 'Afande', imechukua sura mpya baada ya upande wa waleta maombi kumtaka hakimu anayesikiliza kesi hiyo, Nyambuli Tungaraja kusaini hati ya mashtaka ili mtuhumiwa aweze kusomewa kesi yake popote alipo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…