Mmoja wa maafande ambao ni marafiki wa madereva wa vyombo vya moto ikiwemo gari na Bodaboda ni Afande Adrian Rutaihwa Kamara. Kwa sasa yeye ni District Traffic Officer (DTO) wa wilaya ya Kipolisi Mabwepande.
Nimekuwa nikifuatilia kazi zake kwa kuwa nina uzoefu na maeneo yote aliyofanyia kazi...