Habari za wakati huu wanajami mwaka jana mwezi wa 11 niliemda utumishi kwa ajili ya usahili lakini kutokana na changamoto ya majina katika vyeti vyangu nikalazimika kutafuta affidavit ili iwe msaada katika kutatua hilo na kweli nilifanikiwa kufanya usahili sasa siku ya jana utumishi wameita watu...