Aliyekuwa ofisa wa Magereza, Josephat Mkama na wenzake wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na makosa manne likiwamo la kughushi msamaha wa Rais kwa wafungwa.
Washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Sibuti Nyabuya na Joseph Mpangala.
Kesi hiyo...
Hili ni swali ambalo najiuliza sana kwa hawa askari magereza tofauti yao na waasi wauwaji, wabakaji na wahujumu uchumi. Walioko jera ni ipi!!
Ila askari magereza wanalinda watu mpaka wanapostaafu na wengine wa makosa ya miaka 10nk huwaacha maasikari magereza wakiendelea na kifungo huru.
Shamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.