Habari za mida hii GT...niende kwenye mada
Katika kujikwamua na maisha ya kawaida huenda ukajikuta unaingia benki na hivyo kufanya mawasiliano na afisa mikopo...
Picha linaanza ambapo huanza kukupigia hesabu za mkopo wa muda mrefu mfano miaka 9...
Tatizo linaanzia pale ambapo mnakubaliana...
Anachotaka Christine ni kupanda cheo hapa benki toka kuwa afisa mikopo mpaka kuwa meneja wa tawi.
Anaamini akikaa hapo, wazazi matajiri wa 'boyfriend' wake watamheshimu na kumwona anafaa kuolewa na mtoto wao.
Lakini sasa shida ni moja, mfanyakazi mwenzake anayeitwa Stu.
Bwana huyu naye...
Kuna nafasi ya kazi ya afisa mikopo kwenye ofisi ya Microfinance.
Ni ofisi ambayo ndo inaanza kutoa huduma ya mikopo midogo midogo hivyo inahitaji mfanyakazi mwenye elimu ya diploma ya finance,Marketing, Accounting au Business Administration.
Muombaji anatakiwa awe amewahi kufanya kazi kama...
Heshima kwenu.
Naomba kujuzwa, hivi hizi kampuni za mikopo huwa zinalipa mshahara wa Tshs ngapi kwa afisa mikopo?
Je, mbali na mshahara huwa Kuna benefits zingine ambazo mfanyakazi anapata?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.