Habar za Leo ndugu wanajukwaa,
Siku chache zilizopita nilienda kwenye tawi la bank Moja maarufu hapa nchini kwaajili ya ku-process mkopo kutoka kwenye bank hiyo.Afisa mikopo alinipigia mahesabu na ikaonekana kuwa naweza kupata kiasi cha zaidi ya milioni tisa za Kitanzania.Leo nikampigia cm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.