Habar za Leo ndugu wanajukwaa,
Siku chache zilizopita nilienda kwenye tawi la bank Moja maarufu hapa nchini kwaajili ya ku-process mkopo kutoka kwenye bank hiyo.Afisa mikopo alinipigia mahesabu na ikaonekana kuwa naweza kupata kiasi cha zaidi ya milioni tisa za Kitanzania.Leo nikampigia cm...