african union commission

  1. Mindyou

    Mahamoud Ali wa Djibouti ashinda nafasi ya Uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC) dhidi ya Raila Odinga kutoka Kenya

    Waziri wa Mambo ya nje wa Djibouti Mahamoud Ali Youssouf ameshinda nafasi ya Uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika maarufu (AUC). Katika Uchaguzi ambao ulikuwa nchini Ethiopia Mahamoud alishinda dhidi ya Raila Odinga ambaye alikuwa mwakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki Raila alishinda...
  2. M

    Safari ya Raila Odinga Uenyekiti Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC)

    Jana Raila Odinga na wenzake walifanyiwa mdahalo ikiwa ni maandalizi ya kuukwaa uwenyekiti wa AU hapo February 2025 Mtakie neno la heri kwake.
Back
Top Bottom