afrika kujitegemea

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rorscharch

    Fedheha: Mzungu anaenda China kwajili ya Maarifa ya Wachina ila anakuja Afrika kwajili ya Rasiliamali na sio Waafrika

    Afrika imegeuzwa kuwa ghala la mataifa ya nje. Madini yanachimbwa, misitu inakatwa, wanyama wanauzwa kama burudani kwa watalii, mito na maziwa yanavuliwa mpaka hakuna cha kuvua tena, lakini mwananchi wa Afrika bado anakwambia "Tuna utajiri wa kutosha!" Utajiri gani? Ni lini utajiri wa nchi ukawa...
  2. Elitwege

    Kwa maamuzi haya ya Rais Trump bila shaka Hayati Magufuli alikuwa mbele ya muda

    Uamuzi wa Rais wa Marekani Donald Trump kuanzia mwaka 2025 kuzilazimisha nchi za Afrika kujitegemea kupitia kuzinyima misaada mbalimbali umeshaabiana na Uamuzi wa Rais wa tano wa Tanzania hayati Magufuli kuanzia mwaka 2015-2020 kuilazimisha Tanzania kuacha kutegemea misaada ya mabeberu na...
Back
Top Bottom