afya na ustawi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. I

    Vijana na ulevi

    Kila nikirudi nyumbani (mkoani), nagundua dhahiri kabisa kuwa kuna ongezeko kubwa sana ya maduka madogo madogo ya pombe (grocery stores) katoka mitaa mbalimbali tofauti na hali ilivyokuwa miaka 10 au zaidi iliyopita. Hata maduka yanayouza mchele na sukari lazima kuna droo ya kuuza pombe tena...
  2. Poor Brain

    Kijana, fanya mambo hayo muhimu kuilinda afya yako

    Hii imetoka kwa mdau mmoja huko jukwaa la afya... Sawa wakuu hakuna kitakachobaki wote tutakufa.. ila zingatia haya kama kijana mwenzangu ambaye ni hustler Ile kauli ya kusema magonjwa fulani ya wazee achana nayo.. ila kuna mambo unafanya wewe mwenyewe ambayo ina take long time ku show sign...
  3. T

    SoC04 Afya ni haki: Maono ya kibunifu kwa Tanzania yenye afya na ustawi

    UTANGULIZI AFYA NI NINI? Afya ni hali ya ustawi wa kimwili, kihisia, na kijamii ya mtu binafsi au jamii nzima. Ni zaidi ya kutokuwepo kwa ugonjwa; ni hali ya kujisikia vizuri kimwili, kiakili, na kijamii. Afya inahusisha mambo mengi kama lishe bora, mazoezi, usafi, upatikanaji wa huduma za...
Back
Top Bottom