Wakuu habari .
Nilileta Uzi kuomba ushauri na namna sahihi ya kumsaidia mke Wangu ambaye alionekana kuwa na shida ya Akili yeye Pamoja na binti yetu.
Watu walishauri nimpeleke kwenye maombi. Nilifanikiwa kutafuta watumishi wa kiroho na kumuombea sana.
Kiukweli hakuna nafuu iliyopatikana mpaka...
Siku hizi imekuwa kawaida kusikia watu wakijisifia wana ‘side hustle’ – kazi ya ziada mbali na ajira yao ya kudumu. Swali linakuja, hivi kuwa na ‘side hustle’ ni kutafuta hela ya ziada kwa maisha bora au ni tamaa tu ya kutoridhika na mshahara wa mwezi? Kila mtu anapambana kutafuta hela za...
Siku hizi maisha yamekuwa kama mashindano ya marathon – unakimbia tu bila pumziko. Mara unakuta kila siku umeamka mapema, unakimbizana na muda, ukirudi nyumbani usiku umechoka, na wakati mwingine hata weekend hakuna kupumzika. Sasa hivi, ni kama vile kila mmoja wetu anataka “kufanikisha ndoto”...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.