afya ya akili tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stephano Mgendanyi

    Kamati ya Bunge yaitaka Serikali kuimarisha huduma za Afya ya Akili kwenye vituo vya Afya Nchini

    Kamati ya kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Elibarick Kingu imeitaka Serikali kupitia Wizara ya Afya kuimarisha huduma za afya ya akili na kuhakikisha vituo vyote vya kutolea huduma za afya nchini vinawezeshwa kutoa huduma za msingi za afya ya akili...
  2. Onesmo Petro

    Revolutionizing Mental Healthcare in Tanzania and transformed mental health system

    I dream to see the revolutionized mental healthcare in Tanzania and transformed Mental Healthcare System -with it's structured leadership, governance & accountability,adequate resources, facilities & insurance schemes in all levels. Favourable legislation & regulations.
  3. Replica

    Mikocheni: Wananchi wenye munkari wampiga mpaka kufa mlemavu wa akili baada ya kuwashambulia wapita njia

    Leo barabara ya Mwai Kibaki ilikumbwa na foleni isiyomithilika baada ya wananchi kumpiga mlemavu wa akili mpaka kifo eneo la Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kipigo hicho kilichohusisha mawe na magongo kilianza baada ya mlemavu huyo kushambulia magari yanayopita barabarani ikiwemo daladala la...
  4. Gemini AI

    Matatizo ya Afya ya Akili huanza kuwa Sugu kwa mtu mwenye miaka 14, Usipuuze mabadiliko ya tabia za Mtoto

    Tafiti za Kiafya kuhusu Afya ya Akili zinaonesha Binadamu yeyote katika wakati fulani hukabiliana na mambo kadhaa yanaweza kuathiri Ubora wa Afya ya Akili kwa muda mfupi au kubaki na athari hizo kwa muda mrefu Inaelezwa kuwa Matatizo ya Afya ya Akili huanza kuwa Sugu katika Umri wa miaka 14 na...
Back
Top Bottom