afya ya kinywa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mr nobby

    Je, wajua mwaka huku hapatakua na kumbukumbu ya kifo cha ally Hassan Mwinyi Rais wa awamu ya pili?

    Kama kichwa cha habari kinavojieleza, Rais mwinyi alifariki tar 29-02-2024 na kalenda ya mwaka huu hamna hio tarehe. Je, kutakuwa na kumbukumbu ya kifo chake kama ilivo kawaida ya kukumbuka siku za maraisi wengne walio fariki? Je, waliotangaza kifo hiki siku ya tarehe 29 hawakujua kama tar 29...
  2. Paul dybala

    Maumivu makali kwenye ulimi

    Wakuu naweza pata dawa gani ya kuponyesha mdomo wangu unauma ni kila kitu cha moto ...na ulimi pia unauma upande mmoja wa kulia...kuna mtu kaniambia labda sina vitamins. Ulimi unauma kama umekatwa na kiwembe hasa ni kila kitu cha moto. Nina siku ya nne sasa.
  3. Hypersonic WMD

    Nina shida ya kuchubuka mdomo, nimeacha pombe lakini sioni mabadiliko

    Wakuu, lips zimeungua watu wanasema ni pombe kali lakini nimeacha bado hali iko hivi. Najiuliza mbona kama pombe kali wengi wanakunywa na hawaungui ivi
  4. Chibule

    Niulize chochote kuhusu afya ya kinywa na meno, nitakujibu

    Mimi ni mtaalamu wa afya ya kinywa na meno napatikana Magomeni - Dar es Salaam na Kibaha -pwani Kama una swali au changamoto yoyote kuhusu kinywa na meno niandikie hapa chini nitajitahidi kujibu kadri ya uwezo wangu. Katika vituo hivyo vya kazi pia natoa huduma zifuatazo kwa gharama rafiki...
  5. LA7

    Ni wajibu wa wazazi kulinda afya ya meno ya watoto

    Mimi nikiri tu meno yangu yalioza kipindi nikiwa na miaka 12 na no kwasababu nilitafuna sana pipi kidonge japo mpaka sasa natafunia pande zote na sijatoa jino hats moja japo niliendaga hospital doktar akanishauri tutoe magego mawili hivi maana yalionekana hayafai ila sasa imepita miaka 7 na bado...
Back
Top Bottom