Natokwa na maziwa kwa miaka sasa, tena maziwa mengi. Bahati mbaya nikajishika nyonyo yanaruka.
Hata (babe) akinyonya nyonyo ananyonya maziwa maana yanatoka tu!
Ni kawaida au ni ugonjwa niende hospitali?
Siku zinavyozidi kwenda naona yanazidi kutoka mengi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.