afya ya mwanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. stephenga

    Wapi nitapata mtaalam wa tiba ya tezi dume?

    Naomba kufahamu ni hospital gani au Dr gani anaweza saidia tiba ya tezi dume. Mzee wangu ameonekana na tezi dume kwa vipimo vya awali. Mgonjwa yupo Morogoro.
Back
Top Bottom