afya ya mwili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Wataalamu wa mazoezi: Naweza kutumia muda gani kupata matokeo haya?

    Kwa kupiga tizi gym naweza tumia muda gani kama ntakuwa na consistency
  2. Riskytaker

    Je, ni kweli viporo vya chakula vinadumaza watoto?

    Je, ni kweli viporo vinadumaza mwili na akili.
  3. M

    Naombeni msaada na ushauri. Kila wakati nashtuka bila sababu

    Habari za muda huu wakuu, hili imeanza muda lakn sasa hivi imeshika kasi, yani ipo hivi naweza kuwa nimelala au nimekaa au nafanya mishe yeyote lakini ghafla nikapata mshtuko hadi watu wa karibu wanauliza nashtuka nini. Mimi mwenyewe nashangaa kwanini nimeshtuka na hakuna hali yoyote ya hatari...
  4. mbuyake

    Nikiwa na mchepuko naweza kujifunga goli kwa kumkumbatia tu. Je, hii ni hali ya kawaida?

    Mwenzenu mimi ni mtu mzima kidogo maana kwenye 40 napeleza mitatu, kwenye mechi sina shida tangu nianze kuyajua mambo miaka ya 2001 nipo la tano huko. Hizi tatu bila kwa mechi za ugenini ni masaa kadhaa wala si kukesha, mechi za ndani mbili bila kwa usiku mmoja tunaenda. Kusudio la maada...
  5. J

    Je, unafahamu kufanya mazoezi kwa takriban dakika 150 au zaidi kwa wiki kunaweza kurefusha maisha yako?

    Kwa mujibu wa utafiti wa Harvard, kufanya mazoezi mara kwa mara kunaweza kuongeza muda wa kuishi! 🌟 Mazoezi yanafaida nyingi kwa afya yetu, ikiwa ni pamoja na: Kuboresha afya ya moyo ❤️ Kupunguza hatari ya magonjwa sugu kama kisukari na shinikizo la damu 🚫 Kuboresha mfumo wa kinga 🛡️...
  6. Fredrick stephano

    Sexual reflexology: Kwanini hamu ya kufanya mapenzi kwangu haikomi?

    Kwanini ninakuwa na hamu ya mapenzi mara kwa mara? Yaani hata nikimaliza kusex baada ya masaa matatu nataka tena hata kama nimepiga vitatu ninataka tena. Wataalam shida nini hapa na nifanyeje hii hali ikome?
  7. Cute Wife

    Ungeweza kufikia hapo ulipo bila kuchapwa fimbo?

    Wakuu kwema? JF imefanya mjadala leo kuhusu kupata mbadala wa adhabu ya viboko shuleni, huku lengo kubwa ikiwa adhabu hiyo kuondolewa kabisa shuleni. Nimesikia watu wanasema bila fimbo wangekuwa wamepotea huku wengine wakigoma kuwa adhabu ya viboko inapaswa kukomeshwa, mimi binafsi naunga...
  8. P

    Sehemu anapopata chakula mtoto wako akiwa shuleni pana hali gani?

    Wakuu kwema? Shuleni ni sehemu ambako watoto (walioanza kwenda shule) wanatumia muda mwingi kuliko nyumbani. Mbali na masomo, chakula ni kitu muhimu pia ambacho kina nafasi kubwa katika ukuaji wa mtoto. Sasa je, unajua sehemu anapopata chakula mtoto wako ina hali gani? Kuna shule ukiona...
  9. DR Mambo Jambo

    Je, unajua sauti inayotokea unapobinya maungio (joints/knuckes) ya vidole hasa vya mikono haitokani na misuguano ya mifupa?

    Habari za Usubuhi! Kwa wale tuliozoea tukiamka au tukiwa tunajiandaa kubeba kitu kizito au tunaojiandaa na mazoezi au tuliozoea kubinya tu joint/knuckles za mikono yetu na Tunafurahi au tunapenda ile sauti inayolia 'Ta' 'Ta' na wengi huamini Kwamba Sauti ile inatokana na msuguano wa mifupa...
  10. Black Opal

    Vitu gani ungefanya au usingefanya kama ungekuwa unajipenda kwa dhati?

    Wakuu kwema? Kuna mambo mengi tufanaya kwa ajili ya wengine huku mara nyingi tukijisahau sisi wenyewe. Inaweza kuwa unafanya kwa kupenda na wakati mwingine ni kwa kujilazimisha kwakuwa hatutaki kuwakwaza wapendwa wetu, au kuwafurahisha watu wengine, na mara nyingine ni katika kutekeleza tu...
Back
Top Bottom