Aga Khan (Persian: آقاخان, Arabic: آغا خان; also transliterated as Aqa Khan and Agha Khan) is a title held by the Imām of the Nizari Ismāʿīli Shias. Since 1957, the holder of the title has been the 49th Imām, Prince Shah Karim al-Husseini, Aga Khan IV (b. 1936). All Aga Khans claim descent from Muhammad, last prophet of Islam.
Prince Rahim Al-Hussaini, anayejulikana pia kama Prince Rahim Aga Khan, ametangazwa rasmi kuwa Imam wa 50 wa Waismailia wa Kishia baada ya kufunguliwa kwa wosia wa baba yake, Prince Karim Aga Khan IV, Jumatano. Tangazo hilo limetolewa na Aga Khan Development Network (AKDN).
Uteuzi wake...
Kiongozi wa waislamia duniani ajulikanaye kama HH The Aga Khan amefariki dunia akiwa na Umri wa miaka 88.
Kwa Tanzania, Aga Khan atakumbukwa sana kwa kujenga miundo mbinu mizuri sana ya kutoa huduma za afya na elimu. Shule za Tambaza (Dar), Mkendo (Musoma), Mzizima (Tanga) ni baadhi ya shule...
Aga Khan Hospital, iliyopo Dar es Salaam, imekuwa katika habari kutokana na kuvunjwa kwa mkataba wake na Bima ya Afya ya Taifa (NHIF) wa kuwahudumia Watanzania maskini.
Hali hii inatia wasiwasi, hasa pale ambapo hospitali hiyo imekuwa ikihudumia wageni katika mkutano wa Nishati Afrika...
afya
agakhan
dar
dar es salaam
habari
hali
hospital
huduma
huduma za afya
katika
kuhudumia
kutokana
mkutano
mkutano wa nishati
muhimbili
nishati
uchambuzi
wageni
Senior Instructor/Assistant Professor, Urology
Entity - Aga Khan Health Services
Location - Tanzania
Introduction
Aga Khan University, a private, self-governing international university chartered in Pakistan in 1983, is a role model for academic, research and service programmes in health and...
Katika mitandao ya kijamii kuna hili la The Aga Khan Hospital linatajwa ila watu wanasahau mapema sana.
Tukumbushane kidogo tarehe
Machi 13, 2023 kutokea Dodoma, tulipata ujumbe huu kupitia vyombo vya habari ukisema.
"MABORESHO KATIKA UTARATIBU WA USAJILI WA WATOTO KUPITIA MPANGO WA TOTO AFYA...
Katika pita pita zangu mtandaoni nimekutana na taarifa iliyozua gumzo ambayo inahusu Hospitali ya Aga Khan kuiiomba NHIF isitishe mkataba wake wa utoaji wa huduma kwa sababu za kiuendeshaji.
Ilinistua na nikalazimika kwenda mbali zaidi ili kujua sababu ya suala hilo. Hakika niliumia sana kuona...
Hospitali ya Aga Khan wanataka kutoza Shilingi 6,000,000/= kwa huduma za kujifungua kwa njia ya upasuaji wakati Hospitali nyingine zenye hadhi sawa ya rufaa ya Kanda wanatoza kiasi cha Shilingi 230,000/= huku bei ya juu katika baadhi ya Hospitali ikijumlisha na huduma ziada hutoza kiasi cha...
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unawajulisha wanachama wake na wananchi kuwa huduma za matibabu katika hospitali ya Aga Khan zitaendelea kutolewa kama kawaida hadi hapo itakapotangazwa vinginevyo.
Hatua hii ni inatokana na Serikali kupitia Wizara ha Afya kuendelea na mazungumzo na...
Wiki iliyopita Hospitali ya Aga Khan Dar es Salaam inayomilikiwa na Taasisi ya Aga Khan ilitangaza kusitisha mkataba kati yake na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) katika Vituo 11 kati ya 24 vinavyomilikiwa na Taasisi hiyo Nchini ikiwemo Hospitali ya Aga Khan Dar kwa sababu ya changamoto za...
Kuna ya taarifa za kufungwa kwa baadhi ya vituo vya kutolea huduma ya afya vilivyopo chini ya Taasisi ya Aga Khan, Tanzania kwa sababu za changamoto za kiuendeshashaji.
Fununu hizo zinaeleza kuwa Taarifa zimetokana na mkutano uliofanyika na mtendendaji mkuu wa Taasisi hiyo nchini, kupitia...
HUZUNI KUBWA.
---
YAH: TAARIFA KUHUSU KUSITISHA HUDUMA KWA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VYA AGA KHAN
Tafadhali rejea somo tajwa hapo juu
2. Mfuko husajili vituo vya kutolea huduma za afya kuwawezesha wanufaika wake kupata huduma hizo nchi nzima. Hadi sasa Mfuko umesajili jumla ya vituo...
Introduction
The Aga Khan University is a pioneering institution of higher education whose mission is to improve the quality of life in the developing world and beyond, through world-class teaching, research, and healthcare delivery. AKU educates students for local and global leadership from...
The position
The Project Assistant is part of the core implementation team for the Tuinuke Pamoja project which aims to improve gender equality in Dodoma region. Tuinuke Pamoja is an ambitious initiative of Aga Khan Foundation and TGNP supported by the Irish Embassy Tanzania. The project is...
The position
Office Assistant will be responsible for day-to-day Office Administration activities of Tuinuke Pamoja Project, including office cleanliness, store management, front office operation and office logistics
Duties and Responsibilities
Office Premises Cleaning
Utilize AKF’s...
The position
AKF is looking for an enthusiastic and committed Driver cum Logistics to support the project in Dodoma
Responsibilities
Safely and efficiently operate the organization vehicles to designated locations as per AKF policies and procedures.
Handle various communications e.g. incoming...
Kipindi cha uongozi wa Rais Kikwete tulibahatika kupata ujio wa bwana Aga khan na familia yake kama ilivyo utaratibu wao wakutembelea nchi kwa nchi.
Kutokana na michango mingi ya Aga Khan kama hospital,benki na n.k inamfanya kuwa mtu mwenye ngazi kubwa ya kuangaliwa na nchi nyingi kwa viongozi...
Invitation For Bids (IFB)
Bid No. AKFT/04/2024/001
Procurement Of Goods To Support Climate Action Areas
The Aga Khan Foundation (AKFT) is an agency of the Aga Khan Development Network (AKDN), AKF seeks sustainable solutions to long-term problems of poverty, hunger, illiteracy, and ill-health...
Introduction:
WAJIBU – Institute of Public Accountability was founded in 2015 to foster an environment that supports transparency, accountability and good governance in the management of public funds in the country. WAJIBU is a Non-Governmental Organization (with Registration Number...
Position: Primary School Learning Support Teacher
Location: Dar es Salaam, Tanzania Central Office
Position Summary:
To provide specialized support to students with diverse learning needs, ensuring they have equal access to the curriculum and opportunities for academic success Scope of Work...
Position: Researcher
GENERAL DUTIES:
Researcher – Climate Change & Water Resource Management will be responsible for initiating, designing, planning, and carrying out independent research projects that seek to assess and understand the broader impacts of climate change with emphasis on human...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.