Kabla ya ujio wa Julian calendar 46 BC watu wa zamani walikuwa wanatumia calendar ipi?
Miaka ilikuwa inahesabiwa vipi enzi za Biblia ya agano la kale?
Walioishi miaka 900 ni kwa kutumia calendar ya miezi 12 au tofauti?
Imepita zaidi ya miaka 6000 mpaka 6700 Baba WA wanadamu Nabii Adam na Mama wa Wanadamu Hawa kushushwa kwenye ulimwengu huu wa Dunia.
Hatimaye utafiti uliofanywa hivi majuzi wa kisayansi umetoa ushahidi wa kutosha kwamba wanadamu wote waliopo Ulimwenguni wana ukoo mmoja, ambapo inaonyesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.