ahadi hewa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sababu za Wanachi kuwa wa athirika wa Siasa za ahdai hewa na nini kifanyike?

    Tatizo la wanasiasa kurudia ahadi zilezile kila kipindi cha kampeni ni kiashiria cha mfumo wa siasa ambao haujalenga kutatua matatizo ya wananchi, bali kudhibiti mamlaka na kulinda maslahi binafsi ya viongozi. Hii ni hali inayojitokeza sana katika nchi za Dunia ya Tatu, ikiwemo Tanzania, ambapo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…