Ahadi ni kiapo au neno la kutimiza jambo fulani lililoahidiwa. Katika mtazamo wa kibiblia, kutimiza ahadi ni kiini cha uadilifu na uaminifu, na mara nyingi huonekana kama kipimo cha tabia ya mtu. Mungu mwenyewe ni mfano mkuu wa kutimiza ahadi; ahadi zake ni thabiti na haziwezi kubadilishwa, kwa...
Si vyema kuweka ahadi ambazo unajua huwezi kuzitimiza au zisizotekelezeka.
Baadhi ya watu hupatwa na msongo wa mawazo na kupoteza uaminifu kwa kushindwa kutimiza ahadi.
Uwekapo ahadi hugeuka deni, na usiku wa deni haukawii kukucha.
Je, ni ahadi zipi ziliwekwa na kiongozi wako ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.