ahadi ni deni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Umuhimu wa kutimiza ahadi

    Ahadi ni kiapo au neno la kutimiza jambo fulani lililoahidiwa. Katika mtazamo wa kibiblia, kutimiza ahadi ni kiini cha uadilifu na uaminifu, na mara nyingi huonekana kama kipimo cha tabia ya mtu. Mungu mwenyewe ni mfano mkuu wa kutimiza ahadi; ahadi zake ni thabiti na haziwezi kubadilishwa, kwa...
  2. Ni ahadi zipi zilitolewa na kiongozi wako ambazo hazijatekelezwa mpaka sasa?

    Si vyema kuweka ahadi ambazo unajua huwezi kuzitimiza au zisizotekelezeka. Baadhi ya watu hupatwa na msongo wa mawazo na kupoteza uaminifu kwa kushindwa kutimiza ahadi. Uwekapo ahadi hugeuka deni, na usiku wa deni haukawii kukucha. Je, ni ahadi zipi ziliwekwa na kiongozi wako ambazo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…