ahmed rajab

  1. Mohamed Said

    Siku Moja na Mwalimu Wangu Ahmed Rajab Nairobi

    SIKU MOJA NA AHMED RAJAB MWALIMU WANGU NAIROBI Ahmed Rajab akinipa kazi si haba nyingine ''investigative'' na hapa akitaka sana kusoma ubongo wangu na fikra zangu kwa jambo fulani hizo hazichapwi na jina si lake wala langu kwa hiyo hutoziona popote na akinilipa fedha. Makala hizi hazina...
  2. Mohamed Said

    Maziko ya Ahmed Rajab London Nimekumbuka Mengi

    KUMBUKUMBU YANGU NIKIANGALIA MAZIKO YA AHMED RAJAB Allah ana shani yake. Naangalia hii clip ya maziko ya Ahmed Rajab na imenirejesha nyuma na kunikumbusha mengi. Namuona hapo Talal mwanae marehemu sasa kijana. Nakumbuka siku moja asubuhi nimetoka kwangu Finsbury Park hadi Oakwood nyumbani kwa...
  3. H

    Ahmed Rajab na Rais Mstaafu Jenerali Ibrahim Babangida

    Ahmed Rajab na Rais Mstaafu Jenerali Ibrahim Babangida KAMA kuna mtawala wa kijeshi aliyewaweza Wanigeria basi alikuwa Ibrahim Badamasi Babangida (IBB) au “Maradona”, kwa umaarufu wake wa mitaani. Si bure kwamba alibandikwa lakabu hiyo ya jina la mchezaji soka maarufu wa zamani wa Argentina...
Back
Top Bottom