ahmedy ally

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Kesi ya maadili inayowakabili Ali Kamwe na Ahmedy Ally yasogezwa mbele na TFF

    Kesi ya Ahmed Ally na Ally Kamwe iliyowapeleka kuitwa kamati ya Maadili ya shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF) imepelekwa mbele mpaka hapo kesho. === Mapema leo, Mameneja hao wa Habari na Mawasiliano wa vilabu vya Simba Sc na Yanga Sc, Ahmed Ally na Ally Kamwe wote wameitwa kwenye...
  2. Sultan MackJoe Khalifa

    Ahmed Ally umeshamaliza kila kitu, huna deni kwa mashabiki wa Simba

    Ahmedy Ally a.k.a mzee wa kispika sumu ya panya, a.k.a Semaji la FIFA na CAF ufunguzi wa African football Leaugue kwa Mkapa. Huna baya kaka, una weledi na kipaji kikubwa cha kufanya kazi yako, kilichobaki ni sisi mashabiki kutimiza wajibu wetu kwenye club yetu kubwa Africa mashariki na kati...
  3. NALIA NGWENA

    Ahmedy Ally jitokeze Tena mbele ya camera uwaeleze mashabiki/wadau wa mpira kuwa ligi ya Tanzania ni dhaifu Kama ulivyofanya msimu uliopita

    Hii ni kumbukumbu ambayo haitopotea katika tasnia yetu ya michezo baada ya msemaji wa Simba (Ahmedy Ally ) kuibua hoja mbele ya wadau na wapenda soka/ wapenda maendeleo wanaopigana usiku na mchana ili ligi yetu ipae kimataifa. Msemaji wa simba alitamka maneno kuwa "ligi yetu ni dhaifu" baada...
Back
Top Bottom