Klabu ya Simba tumethibitisha kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji Ahoua Jean Charles raia wa Ivory Coast 🇨🇮 kwa mkataba wa miaka miwili.
Ahoua mwenye umri wa miaka 22 amesajiliwa kutoka klabu ya Stella Club d’Adjamé ya nchini kwao Ivory Coast.
Katika msimu wa 2023/24 Ahoua ameibuka mchezaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.