Wanaofanikiwa duniani sio wenye akili na nia pekee, wenzio wana miungu yao.
Wewe una Mungu gani?
Kusini unaweza ukawa na juhudi ila ukaishia kufanikisha wenzio ambao hawaangalii.
Kuna uchawi wa kijinga sana. Mkasa unaanza paragraph ya pili niskize nikupe Issue.
Katika Pekua Pekua za Mzee...