Mwaka 2010 asilimia 5% tu ya biashara zilikuwa zinatumia social media. Leo 2024 asilimia 98% ya biashara zote zinatumia social media.
Leo 2024 asilimia 5% tu ya biashara zinatumia AI
Kama unataka kuanza freelancing
Hii ndo niche sahihi ya kuishi nayo miaka kumi ijayo.
Karibu DM