Tunayo furaha kuwaalika kwenye kongamano maalum kati ya tarehe 27 na 28 September, 2024. Kongamano hili litaongozwa na Apostle Luciana,(Mbezi Beach_Bondeni) kuanzia saa nane Kamili mchana.
Mnakaribishwa wote,,,Na usisite kuwafikishia habari hizi njema watu wote!
#Shukrani#