aida khenani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Pre GE2025 Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Aida khenani asema fedha za maendeleo zinazotolewa siyo za CCM wala siyo za 'baba zao' ni kodi za wananchi

    Mbunge pekee wa CHADEMA, Aida Khenani kutokea jimbo la Nkasi Kaskazini amesema kuwa fedha za maendeleo zinazotolewa siyo za CCM kama wanavyojinasibu bali ni fedha za wananchi. Amesema pia wanaosema hajafanya chochote waangalie mabadiliko yaliyopo ndani ya jimbo hilo ikiwemo ongozeko la shule...
  2. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Mbunge Aida Khenani Apokelewa Kwa Kishindo Jimboni kwake Nkasi Kaskazini

    Mbunge wa Nkasi Kaskazini kupitia tiketi ya CHADEMA, Aida Khenani apokelewa kwa kishindo Jimboni kwake akielekea kwenye maadhimisho ya siku ya Wanawake duniani ambako leo Machi 04, 2025 Wanawake wa chama hicho Nkasi Kaskazini wameadhimisha katika Kata ya Kirando mkoani Rukwa. Kupata matukio na...
Back
Top Bottom