Ukimwi sio ugonjwa, bali ni mkusanyiko wa magonjwa (Syndrome), na magonjwa yote hayo yanatiba kamili zinatambulika na kufahamika vyema katika ulimwengu wa kitabibu. Nani anabisha?
- Magonjwa haya husababishwa na kushuka kwa kinga ya mwili (upungufu wa kinga mwilini), lakini unaweza kuyapata...
Sorry wakuu mimi mdogo wenu kuna muda najiwazia tu.
Back to the point,Hivi hii misaada ya nchi za Magharibi inayokuja Afrika usalama wake ukoje?
Hapa namaanisha:net,vifaa vya uzazi wa mpango,vyakula,dawa nk. Mfano net zao tunaambiwa zimetiwa sumu ya kuua mbu ila sijawahi kukuta mbu chini...
Habari madaktari wetu!
Mgonjwa amepata uvimbe kwenye viungo (Swollen lymph nodes)
Mitaani huwa kuna imani kuwa mgonjwa akishafikia hatua hiyo ndiyo dalili za mwisho za kufariki. Je ni kweli?
au akikazana na dawa atakuwa sawa tena.
Vijana kuweni makini Ukimwi upo kwa hakika, kuna watu...
Habari za muda huu wakuu?
Samahani bwana, hivi Kuna mtu yeyote anaufahamu mradi unaohusika na maswala ya Ukimwi unaosimamiwa na Sonnabend NGO?
..
Wamemwaga ajira nyingi sana zenye mshahara mnono kuanzia Dola 2500 hadi 3500 kwa Mwezi. Sasa changamoto yake ni kwamba ,
Mimi nimeapply ila...
intro:
so siku za nyuma nimekutana na binti mmoja wa kiislam, age : 19. married, education : form 2. ana mimba pia anamuamini Sana mume wake , mume yupo late 20s, mfanyabiasha na pia ameajiliwa, kazi ina all benefits bima and everything.
Mainstory
Huyu mtu ana imani kubwa sana na mume wake...
CIA na AIDs
Labda unajua virusi vya AIDS, lakini huenda usifahamu nadharia kwamba sio virusi vinavyotokea kwa kawaida, lakini kuna ukweli kwamba imetengenezwa na mwanadamu na kusambazwa na CIA. Inaaminika sana na kukubaliwa kuwa VVU ilianzia Afrika, kwamba ilianza kama virusi vya tumbili au...
Taifa la Kenya kwa sasa linapitia Kipindi kigumu hasa kutokana na Kukumbwa na Uhaba mkubwa wa Mipira ya Kiume ( Condoms ) hali inayofanya Wakenya wafikirie mara mbili mbili linapokuja Suala la 'Kubanduana' huku wengine wakimalizia tu Haja ( Nyege ) zao kwa Kupiga Nyeto ( Punyeto ) kwa kwenda...
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu amekutana na kufanya mazungumzo na mkurugenzi wa taasisi isiyo ya Kiserikali inayojihusisha na HIV hasa kuzuia maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto ya Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation, Charles Lyons.
EGPAF iliasisiwa mwaka 1988 na taarifa za...
US to Reduce 40% of its aids to countries which did not vote against Russia in UN council , Tanzania inclusive
And those who supported aids will be reduced to 100%
Wakati chupa za dawa zikipakiwa katika ndege zisizokuwa na rubani kwa ajili ya kusafirishwa, kundi la watu limekusanyika kwa mbali kutazama ndege hiyo yenye upana wa mita 1.5 katika eneo la Kituo cha Afya cha Bufumira III, jimbo la Kalangala nchini Uganda.
Mzigo huo wa dawa za kufubaza makali...
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’S OFFICE
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref.No.EA.7/96/01/L/44 09 April, 2021
VACANCY ANNOUNCEMENT
On behalf of University of Dar es Salaam (UDSM), Mwalimu Nyerere Memorial Academy (MNMA), National Health Insurance Fund (NHIF), Tanzania...
The impact of HIV/AIDS on individuals, communities and organisations is a major bone of resentment the world over. Human Capital Planning (HCP) focuses on helping managers set the direction for an organisation in regard to its future Human Resources needs but lamentably this is made difficult...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.