aina

The Aïna River is a tributary of the Ivindo River that rises in Cameroon. Along the way it forms the border between Cameroon and Gabon and then the border between Gabon and Republic of the Congo (Map.).
The native pygmies along the river were noted as some of the few to use the plant Strophanthus tholonii as an ingredient in their arrow poison; other Strophanthus species are more commonly used.

View More On Wikipedia.org
  1. ( PICHA ) Friji aina ya BOSS mpyaaa inauzwa

    Tangu itoke dukani Ina miezi minne. Na imekuwa ikitumika nyumbani. Haina hata mkwaruzo. Haina kipengere chochote. Ni milango miwili, Inapooza na kugandisha Bei 300,000 Contact : 0785214599 ( Dar es salaam - Kigogo round about )
  2. J

    Aina za Uponyaji wa Kiroho

    Aina za Uponyaji wa Kiroho Uponyaji ni nini Uponyaji ni tendo la kiimani la kupokea uzima katika roho au mwili kwa njia ya kuombewa, kuwekewa mikono au kulisikia neno sahihi la Yesu Kristo. Tendo hili la kiimani humletea muumini uzima wa kiroho na afya ya kimwili pale ilipopunguka. Wengi...
  3. Je, ni ipi tofauti ya Mbowe, Kagame, Museveni, Nyerere na viongozi wa aina hiyo?

    Nyerere Alikaa madarakani zaidi ya miaka 20, hakuna ishu ya maana aliofanya kwenye kuikomboa nchi na umasikini zaidi ya kupandikiza uoga kwa raia….hakupaswa kuitwa baba wa taifa. The worst president in our history. Museveni yupo madarakani tangu sijazaliwa… over 38 years ! Uganda ni nchi...
  4. L

    Utajiri Wa Elon Musk unaweza Kufadhili Bajeti Ya Tanzania kwa Miaka zaidi ya kumi mfululizo Pasipo Mtu yeyote kulipa kodi wala ushuru wa aina yoyote

    Ndugu zangu Watanzania, Hivi Dunia Jamani kuna watu wana Hela,kuna watu wana pesa,kuna watu wana Fedha. Watu wana hela mpaka unajiuliza wao wanazipata wapi wakati kuna watanzania wanafanya kazi usiku na mchana kuanzia migodini ,mashambani , mabarabarani,viwandani lakini hawapati pesa hizo...
  5. M

    Mnatumia mbao za aina gani kuezeka nyumba?

    .
  6. Influencer/brand ambassadors huwa wana ushawishi wa maana kwa watu kununua au kubadilisha bidhaa au huduma fulani?

    Mimi maji ninayopendelea kunywa tangu nafika Dar es Salaam ni maji brand ya Uhai, yalipokuja Hill water niliyapenda kwa sababu ya muonekano wa chupa yake na portability yake. Nimeona matangazo ya maji mengi lakini sijawahi kufikria kununua maji kwa sababu ya kushawishiwa na influencer...
  7. K

    Computer4Sale Laptop aina ya Lenovo inauzwa, imetumika miezi minne tu

    Wakuu, kimfaacho mtu chake. Nina hali mbaya kiuchumi aisee, nimeamua kuuza laptop yangu aina ya lenovo RAM 8 GB Storage 256 GB Bei ni 550,000/=maongezi kidogo yapo. Kwa mwenye kuihitaji anicheck inbox tu tuyajenge.
  8. Phone4Sale Simu ndogo aina ya i 17 Pro 45,000 TZS

    Simu ndogo aina ya i 17 Pro 45,000 TZS. Sifa za simu: 1. Inatumia laini mbili 2. Ina trey ya kuwekea laini 3. Betri yake ipo ndani kwa ndani 4. Ina pin ya kutolea laini 5. Inakaa na chaji muda mrefu 6. Display yake nzuri sana Rangi tulizo nazo ni Kama ifuatavyo: Karibuni: Mawasiliano...
  9. Apollo: Album ya Fireboy DML yenye upekee wa aina yake

    Albamu ya Apollo ya Fireboy DML: Safari ya Upekee katika Muziki wa Afro-Beatz Katika ulimwengu wa muziki wa Afro-beat, albamu ya Apollo ya Fireboy DML ni mfano halisi wa ubunifu wa kisanaa na urithi wa kitamaduni. Iliyoachiliwa mnamo Agosti 2020, Apollo inasimama kama ushahidi wa uwezo wa...
  10. Je unafahamu Aina za Dental Crowns ? ( Kofia za jino )

    Neno Crown sio geni Sana , nahisi umelisikia. Ni aina ya meno bandia ambayo hutengezezwa maabara ili kuzibia jino / mapengo kwenye meno halisi yaliyotoboka au kutoka/ kuvunjika ili imusaidie mtu kutafuna chakula, Muonekano, Matamshi. Kuna Aina zaidi ya saba za Dental Crowns 1. Metal ceramics...
  11. Car4Sale Gari aina ya Suzuki Lihana cc 1490 no DH inauzwa

    Wakuu habari, Ndugu yangu anauza gari aina ya suzuki lihana. Gari inapatikana maeneo ya kimara Mwisho cc 1490 Bei ni m6 inapungua kidogo No 0715568585 Usajili no DHD 2WD gari ni automatic
  12. Computer4Sale Laptop aina ya Samsung inauzwa

    Laptop Inauzwa Ni SAMSUNG LAPTOP RAM 4 GB Processor 2.4GHz HDD 360GB Betri yake nzuri sana inakaa na chaji masaa 4 Bei ni 260,000 Location ni Dar es salaam, Mbezi mwisho. Mawasiliano 0752026992
  13. We do design and construction services

    WE DO DESIGN AND CONSTRUCTION SERVICES APPARTMENT VILLA EACH UNIT 2BEDROOM PLOT SIZE 20X30M CALL/WHATSAP +255624004650 VISIT OUR OFFICE SINZA PALESTINA
  14. LGE2024 Mtaalam wa TAKUKURU awaonya Wasanii dhidi ya rushwa, "Sheria itachukua mkondo kwa watu wa aina hiyo"

    Devid Junior, Mchunguzi na Mwanasheria wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, amewataka wasanii kuwa makini katika kipindi cha uchaguzi na kampeni za kisiasa, akisema kuwa wao ni kioo cha jamii. Ameongeza kuwa wasanii wanapaswa kujiepusha na rushwa na kudumisha maadili bora wakati wote...
  15. Nimekuta hizi dawa kwa mkoba wa Dadangu. Kuna anaejua ni aina gani ya Dawa

    Wakuu naandika hapa ila kichwani niko confused sana, Dadangu aliondoka hom zaidi ya miaka 20, akaenda huko Dar es salaam katika harakati zake na tulipoteana, Kwa baadae kabisa tukapata kuwasliana upya, kwa kipndi hiko na mim nilikuwa nishatoka mkoani nimejenga Jiji flan hapa Tanzania, ikabidi...
  16. Je, Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu kwenye kupambana na majanga ya aina zote?

    Hello hello! Kulingana na kadhia hasa nyakati za majanga inachekesha sana, kitengo cha maafa, Jeshi la uokoaji, na kamati zote zimeendekeza Utopolo wa kujirudia, nyakati zote huambatana na haya. Uokoaji hafifu, duni wenye vitu hivi 1. Hakuna vifaa 2. Waokoaji sifuri 3. Raia wa kawaida...
  17. Car experts, hii ni gari aina gani na tolel la mwaka gani?

  18. A

    Nauza SmartTv aina ya TCL inch 32

    Habari zenu Wakuu, Nauza Tv ya TCL inch 32 SmartTv kwa 320,000 tu! Tv ni nzima na haijawahi kwenda kwa fundi. Napatikana Dar es Salaam. Mawasiliano 0626753305
  19. Kumbukizi za Kilingeni Msata: Aina mbalimbali za hirizi na makafara

    Kwa mahitaji na matumizi mbali mbali Kuharibu Kutengeneza Kukinga Kulinda Kufungwa Mvuta nk
  20. Wataalam wa magari nisaidieni, hii ni gari aina gani?

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…