Ajali barabarani ni janga kubwa lenye kuhitaji ufumbuzi sahihi.
Ajali zinaleta vifo, majeruhi, umasikini, hasara, na vyote vyenye kuambatana na hayo.
Ni ukweli usiopingika kuwa ajali zinasababishwa na haya:
1) ujinga - mwendo kasi wa kizembe, ulevi, fujo, utoto, nk barabarani yakiwamo...