ajali biharamulo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bashungwa Awajulia Hali majeruhi Ajali Biharamulo, Abiria 11 Wapoteza Maisha na Majeruhi 16

    BASHUNGWA AWAJULIA HALI MAJERUHI AJALI BIHARAMULO, ABIRIA 11 WAPOTEZA MAISHA NA MAJERUHI 16 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amefika eneo ilipotokea ajali ya basi la abiria lenye namba za usajili T857 DHW, katika eneo la Kabukome katika Kata ya Nyarubango wilayani Biharamulo...
  2. Biharamulo, Kagera: Ajali ya basi la KABCO yaua watu 11 eneo la mlima Simba

    Ni ajali kubwa sana kwa takribani miaka 10 haijawahi kutokea ajali kama hii ambapo watu kadhaa wanadiwa kufa nita update taarifa, baada ya kufika hospitalini Ni basi la kampuni Kabco ambayo hufanya safari zake kati ya kigoma na bukoba Inadaiwa sababu mwendo kasi na dereva kushindwa kulimudu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…