ajali mv bukoba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kumbukumbu ya kuzama kwa MV Bukoba tarehe 21 May, 1996

    Meli ikiwa inazama na ikiwa imezungukwa na mitumbwi pamoja na boti ambazo zilisaidia kwenye uokoaji RIPOTI ya Tume ya Jaji Robert Kisanga, iliyochunguza chanzo cha ajali ya mv Bukoba, inasema usiku wa kuamkia siku ya ajali, meli hiyo ilipakia abiria kati ya 750 na 800 pamoja na wafanyakazi 37...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…